Tafakari
Mhubiri wa Kimataifa
Mahubiri
Kuokoka
Ushauri
Maombi
Shuhuda
Maarifa
Kusudi la injili ya kimataifa
Changia injili ya kimataifa
Matangazo
Burudani za Injili
|
Kula ndiyo starehe pekee Mungu aliyokuachia mtu uliyeokoka ukimfuata Yesu kwa utii
Hakuna jema kupita kula na kunywa nakufurahi.Yote tunapata kutoka kwa Baba yake Yesu wa mbinguni. Ewe mtu uliyeokoka upendwaye na Mungu Yesu amekuokoa kutoka ktk maisha ya dhambi kama disco, ulevi, utumiaji wa madawa ya kulevya,Rushwa/ufisadi,Uzinzi,uvutaji wa sigara na starehe nyingine zisizo na Faida shetani alikuwa akiiba uchumi wako kwa upofu wako, usitende dhambi tena usirudie maisha yako ya dhambi yenye hukumu ndani yake mpende Yesu na maishake mapya aliyokupa mtendee haki kama mfalme wako wa milele yaani tii Neno lake na mafundisho yake(amri zake). Kula na kunywa ni sehemu ya Baraka zake ndiyo starehe aliyokuachia zingine zote kakuondolea kwa kuamua kumfuata mshukuru maana amekupa maisha yenye uzima na nuru amekundalia kupita hivyo ktk makao ya mbinguni hivyo ishi maisha matakatifu na usafi wa moyo utamwona na atakutakasa.
|